Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 1/15 uku. 3
  • Programu ya Juma la Tarehe 26 Mwezi wa 1

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Programu ya Juma la Tarehe 26 Mwezi wa 1
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Vichwa Vidogo
  • JUMA LA TAREHE 26 MWEZI WA 1
Huduma Yetu ya Ufalme—2015
km 1/15 uku. 3

Programu ya Juma la Tarehe 26 Mwezi wa 1

JUMA LA TAREHE 26 MWEZI WA 1

Wimbo 99 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

cl sura ya 19 fu. 9-17 (Dak. 30)

□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:

Usomaji wa Biblia: Waamuzi 5-7 (Dak. 8)

Na. 1: Waamuzi 7:12-25 (Isipite dak. 3)

Na. 2: Amnoni (Amnôn)—Kichwa: Kupenda Mutu ili Kutafuta Tu Kujitimizia Tamaa Yetu Kunaleta Musiba—it-1-F uku. 101 (Dak. 5)

Na. 3: Njia za Kutusaidia Tujifunze Juu ya Yehova—igw uku. 5 fu. 1-4 (Dak. 5)

Mukutano wa Utumishi:

Tungo la Mwezi ‘Tumutumikie Bwana kwa Unyenyekevu Mukubwa Zaidi’. —Matendo 20:19..

Wimbo 88

Dak. 10: Vichapo vya Kuwatolea Watu Katika Mwezi wa 1 na wa 2. Mazungumuzo. Waombe wasikilizaji waeleze mambo mazuri yenye walikutana nayo wakati walitolea watu broshua Habari Njema. Mufanye onyesho fupi kuhusu namna ya kuwatolea watu broshua hiyo. Kisha onyesho, muzungumuzie habari yenye kichwa, “Sababu Gani Tuondoke Mara Moja?”

Dak. 10: Wazee Ambao Wanamutumikia Bwana—Kiongozi wa Funzo la Munara wa Mulinzi. Muulize kiongozi wa Funzo la Munara wa Mulinzi maulizo haya: Katika mugawo wako unafanya kazi gani? Namna gani unajitayarisha ili kuongoza Funzo la Munara wa Mulinzi? Sababu gani ni vigumu kutaja kila mutu mwenye anaonyesha mukono ili kujibu? Namna gani musomaji, ndugu na dada wenye kujibu, na ndugu wenye kutembeza mikrofone wanasaidia ili Funzo la Munara wa Mulinzi liwe lenye kujenga na lenye kufurahisha? Namna gani Masomo ya Huduma ya Ufalme ya hivi karibuni yalikusaidia ili ushugulikie daraka lako muzuri zaidi?

Dak. 10: “Tutumie jw. org Katika Mahubiri—Sehemu ‘Uwe Rafiki ya Yehova.’” Mazungumuzo. Zungumuzia kwa kifupi habari fulani zilizo katika sehemu hiyo ya jw.org, kisha uwaonyeshe wasikilizaji video moja iliyo kwenye sehemu hiyo. Waombe wapendekeze namna mbalimbali za kutumia sehemu “Uwe Rafiki ya Yehova” wakati wanahubiri nyumba kwa nyumba, mahali pa watu wengi, ao wakati hawakupanga kuhubiri.

Wimbo 135 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine