Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp20 na. 3 uku. 6
  • Namna Muumbaji Amefunua Ahadi Zake

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Namna Muumbaji Amefunua Ahadi Zake
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2020
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • NENO LA MUNGU LINAPATIKANA MU LUGA MINGI
  • ‘Waliongozwa na Roho Takatifu’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Biblia Ni Neno ya Mungu
    Furahia Maisha Milele!—Ujifunze Biblia kwa Njia ya Mazungumuzo
  • Biblia—‘Iliongozwa na Roho ya Mungu’ Kabisa?
    Amuka!—2017
  • Habari Njema Yenye Iko mu Biblia Inatoka Kabisa kwa Mungu?
    Habari Njema Yenye Inatoka kwa Mungu!
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2020
wp20 na. 3 uku. 6
Mufanyabiashara iko anaambia sekretere wake mambo ya kuandika.

Sawa vile mufanyabiashara anaweza kutumia sekretere amuandikie barua, Mungu alitumia wanadamu fulani waaminifu ili waandike Maandiko Matakatifu

Namna Muumbaji Amefunua Ahadi Zake

Tangu aumbe wanadamu, Muumbaji wetu amezungumuza na watu kupitia malaika na manabii. Zaidi ya ile, aliamua ujumbe na ahadi zake ziandikwe. Ahadi za Mungu zinaonyesha kama tunaweza kuwa na furaha wakati wenye kuja. Sasa, zile ahadi zinapatikana wapi leo?

Ujumbe wa Mungu unapatikana katika Maandiko Matakatifu. (2 Timoteo 3:16) Namna gani Mungu alitumia manabii ili waandike ujumbe wake? (2 Petro 1:21) Mungu alitia mawazo yake mu akili yao, na kisha wakaiandika. Tukamate mufano wa mufanyabiashara. Anaweza kuomba sekretere wake amuandikie barua. Hata kama haiko mufanyabiashara njo aliandika, mawazo ya barua ni yake. Vilevile, hata kama Mungu alitumia wanadamu ili waandike ujumbe wake, mawazo yenye kuwa katika Maandishi Matakatifu ni yake.

NENO LA MUNGU LINAPATIKANA MU LUGA MINGI

Ujumbe wa Mungu ni wa maana sana, njo maana anapenda watu wote wasome na kuelewa ule ujumbe. Leo, watu wa “kila taifa na kabila na luga” wanaweza kupata kwa urahisi “habari njema ya milele” ya Mungu. (Ufunuo 14:6, maelezo ya chini) Yehova amebariki ili Maandishi Matakatifu ipatikane yote ao kwa sehemu mu luga zaidi ya 3 000, kuliko kitabu kingine chochote ku dunia.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine