Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • kr uku. 168-169
  • Masomo ya Ufalme—Watumishi wa Mufalme Wanapewa Mazoezi

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Masomo ya Ufalme—Watumishi wa Mufalme Wanapewa Mazoezi
  • Ufalme wa Mungu Unatawala!
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Fuatia Elimu ya Yehova
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
  • Wahubiri wa Ufalme Wanapewa Mazoezi
    Ufalme wa Mungu Unatawala!
  • Programu ya Mkusanyiko wa Pekee wa Siku Moja ya 2010
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Kusanyiko Lipya La Pekee La Siku Moja
    Huduma Yetu ya Ufalme—1996
Ufalme wa Mungu Unatawala!
kr uku. 168-169
1. Mukutano unafanywa inje katika muji wa Londres, Uingereza, mwaka wa 1945; 2. Mukusanyiko wa pekee wa siku moja katika inchi ya Malawi, Afrika, Mwaka wa 2012

Kushoto: Mukutano unafanywa inje katika muji wa Londres, Uingereza, mwaka wa 1945; kuume: Mukusanyiko wa pekee wa siku moja katika inchi ya Malawi, Afrika, Mwaka wa 2012

SEHEMU YA 5

Masomo ya Ufalme—Watumishi wa Mufalme Wanapewa Mazoezi

Wazia jambo hili: unamuangalia musemaji aliye kwenye jukwaa na unaonyesha sura yenye kicheko. Musemaji huyo ni ndugu kijana wa kutaniko lenu, na anatoa hotuba yake mara ya kwanza kwenye mukusanyiko. Wakati unaendelea kufurahia hotuba yake, unashangaa sana kuona mazoezi ambayo watu wa Mungu wanapata. Unakumbuka kipindi ambacho alitoa kwa mara ya kwanza katika kutaniko, na unashangaa kuona namna amefanya maendeleo! Alifanya maendeleo mazuri kisha kuhuzuria Masomo ya Mapainia. Na hivi karibuni, yeye na bibi yake walihuzuria Masomo kwa Ajili ya Waeneza Injili wa Ufalme. Wakati ndugu huyo anamaliza hotuba yake nzuri, unapiga mikono kwa furaha, unaangalia watu ambao wako hapo kwenye mukusanyiko, kisha unafikiri juu ya mazoezi ambayo watu wote wa Mungu wanapewa.

Biblia ilitabiri kwamba kutakuwa wakati ambao watu wote wa Mungu watafundishwa na Yehova. (Isa. 54:13) Tunaishi wakati huo. Tunafundishwa kupitia vichapo vyetu, mikutano yetu, na mikusanyiko yetu mbalimbali. Lakini pia tunafundishwa kupitia masomo mbalimbali ambayo yana kusudi la kututayarisha ili tutimize migao fulani katika tengenezo la Yehova. Katika sehemu hii, tutachunguza namna mafundisho hayo yote yanaonyesha waziwazi kwamba Ufalme wa Mungu unatawala leo.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine