WIMBO 127
Ninapaswa Kuwa Mutu wa Namna Gani?
Maandishi
1. Nikulipe nini kwa wema wako,
Na kwa mambo yote unanifanyia?
Uliniumba na ulinipatia
Biblia ili kunionyesha njia.
(KILALO)
Nilishajitoa kwa moyo wote,
Nikutumikie kwa kujipendea.
Hata kutokee nini Yehova
Sitaacha kukutumikia.
Baba nakuomba, unifundishe
Mambo ya kufanya ili unipende,
Na nikusifu kwa ushikamanifu.
Napenda kufurahisha moyo wako.
(Ona pia Zb. 18:25; 116:12; Mez. 11:20.)