Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 127
  • Ninapaswa Kuwa Mutu wa Namna Gani?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ninapaswa Kuwa Mutu wa Namna Gani?
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yehova Anakuomba “Ukuwe na Hekima”
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Maulizo ya Wasomaji Wetu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Tumikisha Muzuri Kioo
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2025
  • Nitakutumikia kwa Nafsi Yangu Yote
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 127

WIMBO 127

Ninapaswa Kuwa Mutu wa Namna Gani?

Maandishi

(2 Petro 3:11)

  1. 1. Nikulipe nini kwa wema wako,

    Na kwa mambo yote unanifanyia?

    Uliniumba na ulinipatia

    Biblia ili kunionyesha njia.

    (KILALO)

    Nilishajitoa kwa moyo wote,

    Nikutumikie kwa kujipendea.

    Hata kutokee nini Yehova

    Sitaacha kukutumikia.

    Baba nakuomba, unifundishe

    Mambo ya kufanya ili unipende,

    Na nikusifu kwa ushikamanifu.

    Napenda kufurahisha moyo wako.

(Ona pia Zb. 18:25; 116:12; Mez. 11:20.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine