WIMBO 151
Yehova Ataita
Maandishi
1. Maisha yetu iko mufupi,
Hatujue ya kesho.
Na kifo kinaweza kufika,
Tunaanza kulia:
Je, tamuona mupendwa wangu?
Biblia inasema:
(REFREE)
Yehova atamuita
Sababu anapenda
Sana kuwafufua,
Wenye walishakufa.
Ukuwe hakika kama
Utamuona tena.
Na kisha tutapata
Uzima wa milele.
2. Hata kama mutu anakufa,
Mungu hamusahau.
Ikiwa tu ni rafiki yake,
Atamufufuaka.
Mu Paradiso njo kila mutu
Ataishi milele.
(REFREE)
Yehova atamuita
Sababu anapenda
Sana kuwafufua,
Wenye walishakufa.
Ukuwe hakika kama
Utamuona tena.
Na kisha tutapata
Uzima wa milele.
(Ona pia Yoh. 6:40; 11:11, 43; Yak. 4:14.)