Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 151
  • Yehova Ataita

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Ataita
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ahadi ya Uzima wa Milele
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Acha Kweli Ikuongoze
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Utaishi Milele!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Mungu Anatoa Ahadi ya Paradiso
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 151

WIMBO 151

Yehova Ataita

Maandishi

(Yobu 14:13-15)

  1. 1. Maisha yetu iko mufupi,

    Hatujue ya kesho.

    Na kifo kinaweza kufika,

    Tunaanza kulia:

    Je, tamuona mupendwa wangu?

    Biblia inasema:

    (REFREE)

    Yehova atamuita

    Sababu anapenda

    Sana kuwafufua,

    Wenye walishakufa.

    Ukuwe hakika kama

    Utamuona tena.

    Na kisha tutapata

    Uzima wa milele.

  2. 2. Hata kama mutu anakufa,

    Mungu hamusahau.

    Ikiwa tu ni rafiki yake,

    Atamufufuaka.

    Mu Paradiso njo kila mutu

    Ataishi milele.

    (REFREE)

    Yehova atamuita

    Sababu anapenda

    Sana kuwafufua,

    Wenye walishakufa.

    Ukuwe hakika kama

    Utamuona tena.

    Na kisha tutapata

    Uzima wa milele.

(Ona pia Yoh. 6:40; 11:11, 43; Yak. 4:14.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine