Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w15 1/4 uku. 16
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tabia ya watu ya kujipenda wenyewe itaisha namna gani?
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
w15 1/4 uku. 16

MAULIZO JUU YA HABARI ZA BIBLIA YANAJIBIWA

Wakati unaokuja wa watu utakuwa namna gani?

Familia moja inahangaikia mwanamuke mumoja mwenye kuzeeka wa rangi ingine

Namna gani kifo cha Yesu kinawezesha watu kuishi wakiwa wenye kuhangaikiana?

Bila shaka, watu hawataacha kufanya maendeleo katika mambo ya sayansi. Lakini kuna siku watawezesha watu wote kuishi pamoja wakiwa wenye kuhangaikiana kabisa? Hapana. Leo, watu katika dunia wanaongozwa na tabia ya kujipenda wenyewe na pupa. Lakini Mungu anakusudia kufanyia wanadamu mambo fulani ya muzuri.—Soma 2 Petro 3:13.

Neno la Mungu linazungumuzia wakati unaokuja wakati watu wote duniani watapendana. Watu wataishi kwa amani, na hakutakuwa mutu wa kuwatendea mubaya.—Soma Mika 4:3, 4.

Tabia ya watu ya kujipenda wenyewe itaisha namna gani?

Wakati Mungu aliumba mutu, mutu hakukuwa na tabia ya kujipenda mwenyewe. Lakini wakati mutu wa kwanza alichagua kukosa kutii Mungu, alipoteza ukamilifu wake. Tuliriti tabia ya kujipenda wenyewe kutoka kwake. Lakini, Mungu atatumia Yesu ili kufanya watu wakuwe tena wakamilifu.—Soma Waroma 7:21, 24, 25.

Ili mapenzi ya Mungu yatimie, Yesu alikufa ili kutoa zabihu ya ukombozi na kumaliza mambo yenye mutu wa kwanza alileta kwa sababu ya kukosa kutii. (Waroma 5:19) Kwa njia hiyo, Yesu alifanya iwezekane kuwa na wakati muzuri unaokuja wakati watu hawatakuwa tena na tabia ya kujipenda wenyewe inayowasukuma kutenda mabaya.—Soma Zaburi 37:9-11.

Ili kupata habari zingine, soma sura ya 5 ya kitabu hiki, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova

Unaweza pia kupata kitabu hiki kwenye adresi yetu ya Internete www.jw.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine