Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 2/09 uku. 12
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2009
km 2/09 uku. 12

Tuseme Nini Kuhusu Magazeti

Mnara wa Mlinzi 01/02/09

“Je, unafikiri kwamba Mungu anasikiliza sala zote? [Acha mutu ajibu.] Ona yale ambayo Yesu alisema kuhusu jambo hilo. [Soma Mathayo 6:7.] Habari hii yenye kupendeza inatoa majibu ya Biblia kwa maulizo mane ambayo watu wanauliza mara nyingi.” Onyesha habari inayoanzia kwenye ukurasa wa 16.

Amkeni! Mwezi wa 2

“Watu wengi wanaamini kwamba kila jambo linalotupata maishani limekwisha kupangwa na Mungu. Unafikiri namna gani? [Acha mutu ajibu.] Kulingana na andiko hili tunaweza kuchukua uamuzi. [Soma Kumbukumbu la Torati 30:19.] Habari hii inatoa maelezo kuhusu yale Biblia inasema kuhusiana na fundisho la kwamba Mungu amekwisha kupanga kila jambo linalotupata maishani.” Onyesha habari inayoanzia kwenye ukurasa wa 12.

Mnara wa Mlinzi 01/03/09

“Je, unafikiri kwamba kila jambo linalotupata maishani limekwisha kupangwa na Mungu? [Acha mutu ajibu.] Ona yale ambayo Biblia inasema kuhusu jambo hilo. [Soma Mhubiri 9:11.] Gazeti hili linaeleza kwamba, ijapokuwa Mungu amepanga wakati mzuri ajabu kwa ajili ya dunia, anaruhusu kila mmoja wetu achague njia atakayoifuata maishani.”

Amkeni! Mwezi wa 3

“Watu wengi leo wanateseka kwa sababu ya kukosa feza, zaidi sana wakati huu ambapo mambo ya uchumi (économie) yanaharibika. Je, unakubaliana na jambo hilo? [Acha mutu ajibu.] Ona shauri hili lenye kufaa. [Soma 1 Timotheo 6:8, 10.] Gazeti hili linazungumzia kanuni fulani za Biblia zinazotusaidia kutumia feza zetu kwa hekima ili tupate amani ya akilini.”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine