Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 5/09 uku. 8
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2008
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2007
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2009
km 5/09 uku. 8

Tuseme Nini Kuhusu Magazeti

Mnara wa Mlinzi 01/05/09

Soma Mathayo 24:3. Kisha sema hivi: “Watu fulani wanafikiri kwamba ulizo hili linahusu mwisho wa dunia yetu. Je, unafikiri kwamba dunia itaharibiwa? [Acha mutu ajibu.] Jibu la Yesu linatuonyesha jambo fulani la kutazamia—si mwisho wa dunia, lakini ni mwisho wa kitu kingine. Habari iliyo kwenye ukurasa wa 16 inazungumzia zaidi jambo hilo.”

Amkeni! Mwezi wa 5

“Wahubiri fulani wanasema kwamba ikiwa tunampendeza Mungu, atatupatia utajiri wa kimwili. Lakini, labda unajua watu wema ambao ni maskini. Je, unafikiri kwamba Mungu anataka tuwe matajiri? [Acha mutu ajibu. Kisha soma Waebrania 13:5.] Habari hii inaeleza jinsi Mungu anavyotubariki.” Onyesha habari inayoanzia kwenye ukurasa wa 12.

Mnara wa Mlinzi 01/06/09

“Vitabu vyenye kutoa mashauri yenye kusaidia kuhusu kulea watoto, upendo, na kuhusu jinsi ya kutosheka vinasomwa na watu wengi leo. Je, wewe umeona kwamba vitabu hivyo vinasaidia kweli? [Acha mutu ajibu.] Watu wengi wanapuuza kitabu hiki chenye kutoa mashauri yenye kutegemeka. [Soma 2 Timotheo 3:16.] Gazeti hili linaeleza kwa nini tunaweza kutegemea Biblia na linatoa mashauri fulani yenye kufaa yaliyo katika Biblia.”

Amkeni! Mwezi wa 6

“Kama unavyojua, watu wanabishana sana ikiwa ni vibaya kutoa mimba ao hapana. Je, unafikiri kwamba Biblia inaweza kusaidia mutu anayejiuliza jambo la kufanya katika hali hiyo? [Acha mutu ajibu. Kisha soma 2 Timotheo 3:16, 17.] Gazeti hili linaonyesha yale ambayo Biblia inasema kuhusu kutoa mimba.”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine