1914-2014 Miaka Mia Moja ya Utawala wa Ufalme!
Katika mwaka wa 1922, Ndugu J.F. Rutherford alitangaza bila woga hivi: “Mutazame, Mufalme anatawala! . . . Mutangaze, Mufalme na Ufalme wake.” Katika mwaka huu wa mia moja wa utawala wa Ufalme, Tangazo hilo linaendelea kutuchochea sana. Acheni tujikaze kufanya Mwezi huu wa munane kuwa mwezi ambao watu hawatasahau hata kidogo. Tutafanya hivyo kwa kuwasaidia wajifunze kuhusu Ufalme kupitia adresi yetu ya Internete!