Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri— Kuzungumuza Juu ya Ufalme Bila Woga
Sababu Gani Ni Lazima Kufanya Hivyo: Ili tufuate muongozo ulio wazi ambao tunapewa katika andiko la 2 Timotheo 1:7, 8, ni jambo la maana kuzungumuza juu ya Ufalme bila woga. Ni nini itatusaidia kufanya hivyo?
Tumikisha Shauri Hili Katika Mwezi:
Chagua mutu ambaye ungependa kuhubiria.Sali kwa Yehova akupatie uwezo na nafasi ya kuzungumuza juu ya Ufalme bila woga.