UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | LUKA 14-16
Mufano wa Mwana Mupotevu
Mambo yenye tunajifunza katika mufano huu.
Ni jambo la hekima kuendelea kubakia katika usalama wa watu wa Mungu, chini ya ulinzi wa Baba yetu wa mbinguni mwenye upendo
Kama tumeacha njia ya Mungu, tunapaswa kurudia kwa unyenyekevu, na kuwa hakika kama Yehova iko tayari kutusamehe
Tunapaswa kumuiga Yehova kwa kukaribisha kwa moyo wote wale wenye wanatubu na kurudia katika kutaniko