MAISHA YA MUKRISTO
Ukuwe Mufanyakazi Mwenye Ufundi
Seremala mwenye ufundi anajua namna ya kutumia vyombo vyake. Vilevile “mufanyakazi mwenye hana jambo lolote la kusikilia haya” anajua namna ya kutumia vyombo vyenye kuwa kati ya Vyombo Vyetu vya Kufundishia. (2Ti 2:15) Ujibie maulizo yenye kufuata ili uone ikiwa unajua muzuri vyombo fulani vyenye tunatumiaka mu kazi ya kuhubiri.
UMUSIKILIZE MUNGU ILI UISHI MILELE
Hii broshua imetayarishwa kwa ajili ya nani?—mwb17.03 uku. 5 fu. 1-2
Namna gani unaweza kuitumia ili kuongoza funzo la Biblia?—km 7/12 uku. 3 fu. 6
Inaomba kutumia chombo gani kingine ili kutayarisha mwanafunzi wako kwa ajili ya ubatizo?—km 7/12 uku. 3 fu. 7
HABARI NJEMA YENYE INATOKA KWA MUNGU!
Namna gani chombo hiki kiko tofauti na vichapo vingine vya funzo? —km 3/13 uku. 4-5 fu. 3-5
Unapaswa kujikaza kufanya nini wakati unatolea mutu hii broshua? —km 9/15 uku. 3 fu. 1
Namna gani unaweza kuitumia ili kuongoza funzo la Biblia?—mwb16.01 uku. 8
Ni wakati gani unapaswa kuanza kujifunza na mutu mu kitabu Biblia Inatufundisha Nini?—km 3/13 uku. 7 fu. 10
BIBLIA INATUFUNDISHA NINI?
Sehemu Kifupi na sehemu Mafasirio Ingine, zinapaswa kutumiwa namna gani?—mwb16.11 uku. 5 fu. 2-3
NI NANI WANAFANYA MAPENZI YA YEHOVA LEO?
Unapaswa kutumia hii broshua wakati gani?—mwb17.03 uku. 8 fu. 1
Imetayarishwa ili izungumuziwe namna gani?—mwb17.03 uku. 8, kisanduku