Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 1 uku. 7
  • Ukuwe Mufanyakazi Mwenye Ufundi

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Ukuwe Mufanyakazi Mwenye Ufundi
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Chochote Hakikupotea
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Vyombo Mbalimbali vya Kutusaidia Kufundisha
    Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Tufundishe Kweli
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • Tumia kwa Ufundi Vyombo Vyetu vya Kufundishia
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 1 uku. 7
Mwanaume mumoja iko anaranda mbao kwa ufundi.

MAISHA YA MUKRISTO

Ukuwe Mufanyakazi Mwenye Ufundi

Seremala mwenye ufundi anajua namna ya kutumia vyombo vyake. Vilevile “mufanyakazi mwenye hana jambo lolote la kusikilia haya” anajua namna ya kutumia vyombo vyenye kuwa kati ya Vyombo Vyetu vya Kufundishia. (2Ti 2:15) Ujibie maulizo yenye kufuata ili uone ikiwa unajua muzuri vyombo fulani vyenye tunatumiaka mu kazi ya kuhubiri.

UMUSIKILIZE MUNGU ILI UISHI MILELE

  • Jalada la broshua ‘Umusikilize Mungu ili Uishi Milele.’

    Hii broshua imetayarishwa kwa ajili ya nani?​—mwb17.03 uku. 5 fu. 1-2

  • Namna gani unaweza kuitumia ili kuongoza funzo la Biblia?​—km 7/12 uku. 3 fu. 6

  • Inaomba kutumia chombo gani kingine ili kutayarisha mwanafunzi wako kwa ajili ya ubatizo?​—km 7/12 uku. 3 fu. 7

HABARI NJEMA YENYE INATOKA KWA MUNGU!

  • Jalada la broshua ‘Habari Njema Yenye Inatoka kwa Mungu!’

    Namna gani chombo hiki kiko tofauti na vichapo vingine vya funzo? ​—km 3/13 uku. 4-5 fu. 3-5

  • Unapaswa kujikaza kufanya nini wakati unatolea mutu hii broshua? ​—km 9/15 uku. 3 fu. 1

  • Namna gani unaweza kuitumia ili kuongoza funzo la Biblia?​—mwb16.01 uku. 8

  • Ni wakati gani unapaswa kuanza kujifunza na mutu mu kitabu Biblia Inatufundisha Nini?​—km 3/13 uku. 7 fu. 10

BIBLIA INATUFUNDISHA NINI?

  • Jalada la kitabu ‘Biblia Inatufundisha Nini?’

    Sehemu Kifupi na sehemu Mafasirio Ingine, zinapaswa kutumiwa namna gani?​—mwb16.11 uku. 5 fu. 2-3

NI NANI WANAFANYA MAPENZI YA YEHOVA LEO?

  • Jalada la broshua ‘Ni Nani Wanafanya Mapenzi ya Yehova Leo?’

    Unapaswa kutumia hii broshua wakati gani?​—mwb17.03 uku. 8 fu. 1

  • Imetayarishwa ili izungumuziwe namna gani?​—mwb17.03 uku. 8, kisanduku

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine