MAISHA YA MUKRISTO
Chochote Hakikupotea
Kisha Yesu kukulisha kwa njia ya muujiza wanaume 5 000 bila kuhesabia wanamuke na watoto, aliambia wanafunzi wake hivi: “Mukusanye pamoja vipande vyenye vilibakia, ili kitu chochote kisipotee.” (Yoh 6:12) Yesu alionyesha shukrani kwa ajili ya chakula chenye Yehova aliwatolea; kwa hiyo hakupenda wakitupe.
Leo, ndugu wa Baraza Lenye Kuongoza wanajika- za kufuata mufano wa Yesu kwa kutumia kwa hekima mali ya Bwana. Kwa mufano, wakati wa kujenga makao makubwa ya Warwick, New York, ndugu walichagua kujenga kwa kukutumia plan yenye iliwasaidia watumie kwa hekima michango yenye ilitolewa.
NAMNA GANI TUNAWEZA KUTUMIA KWA HEKIMA MALI YA BWANA . . .
wakati tuko ku mikutano?
wakati wanatupatia vichapo vya kutumia sisi wenyewe? (km 5/09 uku. 7 fu. 4)
wakati tunachukua vichapo vyenye tutatumia mu mahubiri? (mwb17.02 uku. 4 fu. 1)
wakati tuko mu mahubiri? (mwb17.02 uku. 4 fu. 2, kisanduku)