- Habari za Kufanana na Zile
HESABU
HABARI ZENYE KUWA NDANI
1
Wanaume wanaandikishwa kwa ajili ya jeshi (1-46)
Walawi hawaandikishwe kwa ajili ya jeshi (47-51)
Kambi inapangwa kwa utaratibu (52-54)
2
3
4
Utumishi wa Wakohati (1-20)
Utumishi wa Wagershoni (21-28)
Utumishi wa Wamerari (29-33)
Habari fupi kuhusu watu wenye walihesabiwa (34-49)
5
Kuweka mbali watu wenye hawako safi (1-4)
Kuungama na kulipia kosa (5-10)
Maji yanatumiwa ili kuonyesha kama mutu alifanya uzinifu (11-31)
6
7
8
Haruni anawasha taa saba (1-4)
Walawi wanatakaswa, wanaanza utumishi wao (5-22)
Miaka yenye Mulawi hawezi kufanya utumishi wa Walawi (23-26)
9
10
Tarumbeta za feza (1-10)
Kuondoka Sinai (11-13)
Utaratibu wa kuondoka (14-28)
Hobabu anaombwa aongoze Israeli (29-34)
Sala ya Musa wakati wa kuvunja kambi (35, 36)
11
Moto unatoka kwa Mungu kwa sababu ya malalamiko (1-3)
Watu wanalia wapewe nyama (4-9)
Musa anajisikia kuwa hastahili (10-15)
Yehova anapatia roho wazee makumi saba (16-25)
Eldadi na Medadi; Yoshua anasikia wivu kwa ajili ya Musa (26-30)
Ndege kware wanatumwa; watu wanapewa azabu kwa sababu ya pupa (31-35)
12
Miriamu na Haruni wanamupinga Musa (1-3)
Yehova anamutetea Musa (4-8)
Miriamu anapigwa na ukoma (9-16)
13
14
Watu wanataka kurudia Misri (1-10)
Yehova anakasirika; Musa anamulilia (11-19)
Azabu: miaka makumi ine katika jangwa (20-38)
Waamaleki wanapata ushindi juu ya Israeli (39-45)
15
Sheria kuhusu matoleo (1-21)
Matoleo kwa ajili ya zambi zenye zilifanywa bila kukusudia (22-29)
Azabu kwa ajili ya zambi zenye zilifanywa kimakusudi (30, 31)
Mwenye alivunja Sabato anauawa (32-36)
Nguo zinapaswa kuwa na upindo wa nyuzi-nyuzi (37-41)
16
Uasi wa Kora, Datani, na Abiramu (1-19)
Waasi wanahukumiwa (20-50)
17
18
19
20
Miriamu anakufia Kadeshi (1)
Musa anapiga mwamba na anatenda zambi (2-13)
Waedomu wanakataa kupatia Israeli njia (14-21)
Haruni anakufa (22-29)
21
Mufalme wa Aradi anashindwa (1-3)
Nyoka wa shaba (4-9)
Israeli anazunguka Moabu (10-20)
Mufalme Sihoni wa Waamori anashindwa (21-30)
Mufalme Ogu wa Waamori anashindwa (31-35)
22
23
24
25
26
27
28
29
30
31
32
33
34
35
36