Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 139
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Mungu anawajua vizuri watumishi wake

        • Huwezi kujificha mbali na roho ya Mungu (7)

        • ‘Nimeumbwa kwa njia inayostaajabisha’ (14)

        • ‘Uliniona nikiwa kiinitete’ (16)

        • “Uniongoze katika njia ya milele” (24)

Zaburi 139:1

Marejeo

  • +1Sa 16:6, 7; 1Nya 28:9; Zb 17:3; 139:23; Yer 20:12

Zaburi 139:2

Marejeo

  • +Mwa 16:13
  • +Zb 94:11

Zaburi 139:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Unanipima.”

Marejeo

  • +Mwa 28:15; 2Sa 8:14; Ayu 31:4; Zb 121:8; Met 5:21

Zaburi 139:4

Marejeo

  • +Ebr 4:12

Zaburi 139:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ni wa ajabu sana kwangu.”

  • *

    Au “Umezidi kabisa uelewaji wangu.”

Marejeo

  • +Ayu 26:14; 42:3; Zb 40:5; Ro 11:33

Zaburi 139:7

Marejeo

  • +Yon 1:3

Zaburi 139:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Ayu 26:6; Met 15:11

Zaburi 139:10

Marejeo

  • +Zb 63:8; 73:23; Isa 41:13

Zaburi 139:12

Marejeo

  • +Da 2:22
  • +Ebr 4:13

Zaburi 139:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Ulinifuma pamoja.”

Marejeo

  • +Zb 22:9; 71:6; Yer 1:5

Zaburi 139:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nafsi yangu inajua.”

Marejeo

  • +Mwa 1:26
  • +Zb 19:1; 104:24; 111:2; Ufu 15:3

Zaburi 139:15

Marejeo

  • +Ayu 10:10, 11

Zaburi 139:17

Marejeo

  • +Isa 55:9
  • +Ro 11:33

Zaburi 139:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “nitakuwa bado ninayahesabu.”

Marejeo

  • +Zb 40:5
  • +Zb 63:6

Zaburi 139:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wenye hatia ya damu.”

Marejeo

  • +Zb 5:6

Zaburi 139:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kulingana na mawazo yao.”

Marejeo

  • +Kut 20:7

Zaburi 139:21

Marejeo

  • +2Nya 19:2; 2Ko 6:14
  • +Zb 119:158

Zaburi 139:22

Marejeo

  • +Zb 101:3

Zaburi 139:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “yanayonifadhaisha.”

Marejeo

  • +Yer 20:12
  • +Zb 94:19

Zaburi 139:24

Marejeo

  • +Zb 17:3
  • +Zb 5:8; 143:8, 10

Jumla

Zab. 139:11Sa 16:6, 7; 1Nya 28:9; Zb 17:3; 139:23; Yer 20:12
Zab. 139:2Mwa 16:13
Zab. 139:2Zb 94:11
Zab. 139:3Mwa 28:15; 2Sa 8:14; Ayu 31:4; Zb 121:8; Met 5:21
Zab. 139:4Ebr 4:12
Zab. 139:6Ayu 26:14; 42:3; Zb 40:5; Ro 11:33
Zab. 139:7Yon 1:3
Zab. 139:8Ayu 26:6; Met 15:11
Zab. 139:10Zb 63:8; 73:23; Isa 41:13
Zab. 139:12Da 2:22
Zab. 139:12Ebr 4:13
Zab. 139:13Zb 22:9; 71:6; Yer 1:5
Zab. 139:14Mwa 1:26
Zab. 139:14Zb 19:1; 104:24; 111:2; Ufu 15:3
Zab. 139:15Ayu 10:10, 11
Zab. 139:17Isa 55:9
Zab. 139:17Ro 11:33
Zab. 139:18Zb 40:5
Zab. 139:18Zb 63:6
Zab. 139:19Zb 5:6
Zab. 139:20Kut 20:7
Zab. 139:212Nya 19:2; 2Ko 6:14
Zab. 139:21Zb 119:158
Zab. 139:22Zb 101:3
Zab. 139:23Yer 20:12
Zab. 139:23Zb 94:19
Zab. 139:24Zb 17:3
Zab. 139:24Zb 5:8; 143:8, 10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 139:1-24

Zaburi

Kwa kiongozi. Muziki wa Daudi.

139 Ee Yehova, umenichunguza kabisa, nawe unanijua.+

 2 Unajua wakati ninapoketi na wakati ninaposimama.+

Unatambua mawazo yangu kutoka mbali.+

 3 Unanichunguza* ninaposafiri na ninapolala;

Unazijua njia zangu zote.+

 4 Kabla sijatamka neno lolote kwa ulimi wangu,

Tazama! Ee Yehova, tayari unalijua vizuri.+

 5 Unanizingira nyuma na mbele;

Nawe unauweka mkono wako juu yangu.

 6 Ujuzi huo unazidi ufahamu wangu.*

Uko juu sana nisiweze kuufikia.*+

 7 Ninaweza kujificha wapi mbali na roho yako,

Na ni wapi ninapoweza kukimbia mbali na uso wako?+

 8 Kama ningepanda mbinguni, ungekuwa huko,

Na kama ningetandika kitanda changu Kaburini,* tazama! ungekuwa huko.+

 9 Kama ningeruka kwa mabawa ya mapambazuko

Ili niishi kando ya bahari iliyo mbali zaidi,

10 Hata huko mkono wako ungeniongoza

Na mkono wako wa kuume ungenishika.+

11 Nikisema: “Hakika giza litanificha!”

Basi usiku unaonizunguka utakuwa nuru.

12 Hata giza halitakuwa zito mno kwako,

Lakini usiku utakuwa mwangavu kama mchana;+

Kwako giza ni sawa na nuru.+

13 Kwa maana uliziumba figo zangu;

Ulinisitiri* katika tumbo la mama yangu.+

14 Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa njia inayoogopesha na kustaajabisha.+

Kazi zako zinastaajabisha,+

Ninajua* vizuri sana jambo hilo.

15 Mifupa yangu haikufichwa kwako

Nilipoumbwa sirini,

Nilipofumwa katika sehemu zenye kina za dunia.+

16 Macho yako hata yaliniona nikiwa kiinitete;

Sehemu zake zote ziliandikwa katika kitabu chako

Kuhusiana na siku ambazo zingeumbwa,

Kabla sehemu yoyote haijakuwepo.

17 Kwa hiyo kwangu mimi, mawazo yako ni yenye thamani sana!+

Ee Mungu, jinsi jumla yake ilivyo kubwa sana!+

18 Nikijaribu kuyahesabu, ni mengi kuliko chembe za mchanga.+

Nikiamka, bado nipo pamoja nawe.*+

19 Ee Mungu, laiti ungewaua waovu!+

Ndipo watu wakatili* wangeniondokea,

20 Wale wanaosema mambo mabaya kukuhusu kwa nia ovu;*

Wao ni maadui wako wanaolitumia jina lako kwa njia isiyofaa.+

21 Je, siwachukii wale wanaokuchukia wewe, Ee Yehova,+

Na kuwachukia kabisa wale wanaokuasi?+

22 Ninawachukia kwelikweli;+

Hakika wamekuwa maadui wangu.

23 Nichunguze kabisa, Ee Mungu, uujue moyo wangu.+

Nipime, uyajue mawazo yangu yanayonihangaisha.*+

24 Angalia ikiwa kuna njia yoyote yenye madhara ndani yangu,+

Uniongoze+ katika njia ya milele.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki