Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 48:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kisha Israeli akamwambia Yosefu: “Tazama, ninakufa,+ lakini Mungu pasipo shaka ataendelea kuwa nanyi na kuwarudisha ninyi katika nchi ya mababu zenu.+

  • Methali 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Usijisifu kwa sababu ya siku inayofuata,+ kwa maana hujui siku itazaa nini.+

  • Mhubiri 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana mwanadamu+ pia hajui wakati wake.+ Kama vile samaki wanaonaswa katika wavu mbovu,+ na kama ndege wanaonaswa katika mtego,+ ndivyo wana wa binadamu wenyewe wanavyonaswa wakati wenye msiba,+ unapowaangukia ghafula.+

  • Yakobo 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki