21 Kisha Israeli akamwambia Yosefu: “Tazama, ninakufa,+ lakini Mungu pasipo shaka ataendelea kuwa nanyi na kuwarudisha ninyi katika nchi ya mababu zenu.+
12 Kwa maana mwanadamu+ pia hajui wakati wake.+ Kama vile samaki wanaonaswa katika wavu mbovu,+ na kama ndege wanaonaswa katika mtego,+ ndivyo wana wa binadamu wenyewe wanavyonaswa wakati wenye msiba,+ unapowaangukia ghafula.+