Mwanzo 27:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Sasa, basi, mwanangu, sikiliza sauti yangu, ondoka,+ ukimbilie kwa Labani ndugu yangu huko Harani.+ Kutoka 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili siku zako zipate kuwa ndefu juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+ Mambo ya Walawi 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Kila mmoja wenu anapaswa kumwogopa mama yake na baba yake,+ nazo sabato zangu mnapaswa kuzishika.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
43 Sasa, basi, mwanangu, sikiliza sauti yangu, ondoka,+ ukimbilie kwa Labani ndugu yangu huko Harani.+
12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili siku zako zipate kuwa ndefu juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+
3 “‘Kila mmoja wenu anapaswa kumwogopa mama yake na baba yake,+ nazo sabato zangu mnapaswa kuzishika.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.