Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo wanaume wazee wa Gileadi wakamwambia Yeftha: “Yehova na awe msikilizaji kati yetu+ ikiwa hatutafanya kulingana na neno lako.”+

  • 1 Samweli 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi akawaambia: “Yehova ni shahidi dhidi yenu, na mtiwa-mafuta+ wake ni shahidi leo kwamba hamkupata chochote mkononi mwangu.”+ Nao wakasema: “Yeye ni shahidi.”

  • Malaki 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nanyi mmesema, ‘Kwa sababu gani?’+ Kwa sababu hii, kwamba Yehova ametoa ushahidi kati yako na mke wa ujana wako,+ ambaye wewe umemtendea kwa hila, ingawa yeye ni mwenzako naye ni mke wa agano lako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki