Methali 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 moyo unaotunga hila zenye kuumiza,+ miguu iliyo myepesi kukimbilia ubaya,+ Methali 16:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mtu wa jeuri atamshawishi mwenzake,+ naye hakika humfanya aende katika njia isiyo njema.+ Methali 26:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Chuki hufunikwa kwa udanganyifu. Ubaya wake utafunuliwa katika kutaniko.+ Marko 7:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 uzinzi, kutamani,+ matendo ya uovu, udanganyifu, mwenendo mpotovu,+ jicho lenye wivu, makufuru, majivuno, ukosefu wa akili.
22 uzinzi, kutamani,+ matendo ya uovu, udanganyifu, mwenendo mpotovu,+ jicho lenye wivu, makufuru, majivuno, ukosefu wa akili.