Mwanzo 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha Abrahamu akakata pumzi, akafa katika umri mwema wa uzee, akiwa mzee na mwenye kutosheka, naye akakusanywa kwa watu wake.+ 1 Mambo ya Nyakati 29:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mwishowe akafa mwenye umri mwema wa uzeeni,+ ameshiba siku, utajiri+ na utukufu;+ na Sulemani mwana wake akaanza kutawala mahali pake.+
8 Kisha Abrahamu akakata pumzi, akafa katika umri mwema wa uzee, akiwa mzee na mwenye kutosheka, naye akakusanywa kwa watu wake.+
28 Mwishowe akafa mwenye umri mwema wa uzeeni,+ ameshiba siku, utajiri+ na utukufu;+ na Sulemani mwana wake akaanza kutawala mahali pake.+