Kumbukumbu la Torati 19:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Shahidi mmoja asiinuke juu ya mtu kuhusu kosa au dhambi yoyote,+ kuhusu dhambi yoyote ambayo huenda akafanya. Kwa kinywa cha mashahidi wawili au kwa kinywa cha mashahidi watatu jambo hilo litathibitishwa vizuri.+ Methali 6:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa maana ghadhabu ya mwanamume ni wivu,+ naye hataonyesha huruma siku ya kulipiza kisasi.+ Methali 29:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mahali ambapo mtawala anasikiliza maneno ya uwongo, wote wanaomhudumia watakuwa waovu.+
15 “Shahidi mmoja asiinuke juu ya mtu kuhusu kosa au dhambi yoyote,+ kuhusu dhambi yoyote ambayo huenda akafanya. Kwa kinywa cha mashahidi wawili au kwa kinywa cha mashahidi watatu jambo hilo litathibitishwa vizuri.+