Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 39:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ikatokea kwamba mara tu bwana wake aliposikia maneno ya mke wake, akisema: “Mtumishi wako alinifanyia hivi na hivi,” hasira yake ikawaka.+

  • Waamuzi 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na wenye mashamba wote wa Gibea wakasimama kunipinga, wakaizunguka nyumba juu yangu wakati wa usiku. Walikusudia kuniua mimi, lakini wakamlala kinguvu+ suria wangu, naye mwishowe akafa.+

  • Waamuzi 20:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na sasa watoeni wale wanaume,+ wale watu wasiofaa kitu,+ ambao wamo katika Gibea,+ ili tuwaue,+ nasi tuondolee mbali lililo baya katika Israeli.”+ Na wana wa Benyamini hawakutaka kuisikiliza sauti ya ndugu zao, wana wa Israeli.+

  • Wimbo wa Sulemani 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Nitie kama muhuri juu ya moyo wako,+ kama muhuri juu ya mkono wako; kwa maana upendo una nguvu kama kifo,+ msisitizo juu ya kujitoa kikamili+ ni wenye kudai kama Kaburi.* Miwako yake ni miwako ya moto, mwali wa moto wa Yah.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki