26 Nitakapokuwa nimevunja fimbo zenu ambazo huning’inizwa mikate ya mviringo,+ kwa kweli wanawake kumi wataoka mkate wenu katika jiko moja na kuwarudishia mkate wenu kulingana na uzito;+ nanyi mtakula bali hamtashiba.+
20 Na mtu atakata upande wa kuume naye hakika atakuwa na njaa, na mtu atakula upande wa kushoto, nao hakika hawatashiba.+ Kila mmoja wao atakula nyama ya mkono wake mwenyewe,+