11 Basi wakaweka juu yao wakuu wa kazi ya kulazimishwa kusudi wawakandamize katika kazi yao ya kubeba mizigo;+ nao wakajenga majiji ili yawe maghala kwa ajili ya Farao, yaani, Pithomu na Raamsesi.+
3 Nao wakaondoka Ramesesi+ katika mwezi wa kwanza, katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza.+ Siku ileile iliyofuata pasaka+ wana wa Israeli wakatoka kwa mkono ulioinuliwa mbele ya macho ya Wamisri wote.+