Mwanzo 34:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ni kwa sharti hili tu tunaweza kuwapa kibali, kwamba ninyi muwe kama sisi, kila mwanamume wenu atahiriwe.+ Yoshua 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na wakati huo Yehova akamwambia Yoshua: “Jitengenezee visu vya jiwe gumu, uwatahiri+ tena wana wa Israeli mara ya pili.” Waroma 2:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa+ ya mtu huyo hutoka, si kwa wanadamu, bali kwa Mungu.+
15 Ni kwa sharti hili tu tunaweza kuwapa kibali, kwamba ninyi muwe kama sisi, kila mwanamume wenu atahiriwe.+
2 Na wakati huo Yehova akamwambia Yoshua: “Jitengenezee visu vya jiwe gumu, uwatahiri+ tena wana wa Israeli mara ya pili.”
29 Bali yeye ni Myahudi aliye hivyo kwa ndani,+ na kutahiriwa kwake ni kule kwa moyo+ kupitia roho, wala si kupitia sheria zilizoandikwa.+ Sifa+ ya mtu huyo hutoka, si kwa wanadamu, bali kwa Mungu.+