Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Anayempenda baba au mama kuliko mimi hanistahili; naye anayempenda mwana au binti kuliko mimi hanistahili.+

  • Waroma 8:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Yeye ambaye hakujizuia hata Mwana+ wake mwenyewe bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote,+ kwa nini yeye pia pamoja naye hatatupa sisi kwa fadhili vitu vingine vyote?+

  • Waebrania 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa kuwa yeye mwenyewe ameteseka alipokuwa akijaribiwa,+ anaweza kuwasaidia wale wanaojaribiwa.+

  • Waebrania 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa imani Abrahamu, alipojaribiwa,+ ni kana kwamba alimtoa Isaka, na huyo mtu aliyekuwa amezipokea ahadi kwa furaha alijaribu kumtoa mwana wake mzaliwa-pekee,+

  • Yakobo 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Je, Abrahamu baba+ yetu hakutangazwa kuwa mwadilifu kwa matendo baada ya kumtoa Isaka mwana wake juu ya madhabahu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki