20 Baada ya hilo akachukua ule Ushuhuda+ na kuuweka katika Sanduku+ na kuiweka ile miti+ kwenye lile Sanduku na kuweka kile kifuniko+ juu ya lile Sanduku.+
11 Na Daudi akampa Sulemani mwana wake ramani ya ujenzi+ wa ukumbi+ na ya nyumba zake na ya maghala+ yake na madari+ yake na ya vyumba vyake vya ndani vyenye giza na nyumba ya kifuniko cha upatanisho;+
5 lakini upande wake wa juu palikuwa na wale makerubi+ wenye utukufu waliokifunika kile kifuniko cha upatanisho.+ Lakini sasa si wakati wa kusema kirefu habari za vitu hivyo.