Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mchukue Haruni na wanawe pamoja naye+ na yale mavazi+ na yale mafuta yanayotumiwa kutia mafuta+ na yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi+ na wale kondoo-dume wawili na kile kikapu cha keki zisizo na chachu,+

  • Mambo ya Walawi 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kisha akamwambia Haruni: “Jichukulie ndama mchanga awe toleo la dhambi+ na kondoo-dume awe toleo la kuteketezwa,+ ambao hawana kasoro, nawe uwatoe mbele za Yehova.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Je, hamkuwafukuza makuhani+ wa Yehova, wana wa Haruni, na Walawi, na je, hamwendelei kujifanyia makuhani kama vikundi vya watu wa nchi?+ Na yeyote aliyekuja na kujaza mkono wake nguvu kupitia ng’ombe-dume mchanga na kondoo-dume saba, akawa kuhani wa vitu ambavyo si miungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki