Hosea 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Yehova kupitia nabii akaleta Israeli kutoka Misri,+ naye akalindwa kupitia nabii.+ Mika 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana niliwaleta ninyi kutoka nchi ya Misri,+ nami niliwakomboa kutoka nyumba ya watumwa;+ nami nikawatuma Musa, Haruni na Miriamu+ mbele yenu.
4 Kwa maana niliwaleta ninyi kutoka nchi ya Misri,+ nami niliwakomboa kutoka nyumba ya watumwa;+ nami nikawatuma Musa, Haruni na Miriamu+ mbele yenu.