11 Basi wakaweka juu yao wakuu wa kazi ya kulazimishwa kusudi wawakandamize katika kazi yao ya kubeba mizigo;+ nao wakajenga majiji ili yawe maghala kwa ajili ya Farao, yaani, Pithomu na Raamsesi.+
11 Sasa ikawa kwamba katika siku hizo, Musa alipozidi kuwa na nguvu, akatoka nje kwenda kwa ndugu zake apate kutazama mizigo waliyokuwa wakibeba;+ naye akamwona Mmisri fulani akimpiga Mwebrania fulani, mmoja wa ndugu zake.+