Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na Kora+ mwana wa Ishari,+ mwana wa Kohathi,+ mwana wa Lawi,+ akaondoka, pamoja na Dathani+ na Abiramu+ wana wa Eliabu,+ na Oni mwana wa Pelethi, wana wa Rubeni.+

  • Hesabu 16:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Nayo dunia ikafungua kinywa chake na kuwameza wao na nyumba zao na wanadamu wote waliokuwa wa Kora na mali zote.+

  • Hesabu 26:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo dunia ikafungua kinywa chake na kuwameza.+ Naye Kora, alikufa kwenye kifo cha kusanyiko wakati ambapo moto uliwateketeza watu 250.+ Nao wakaja kuwa mfano.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki