16Na Kora+ mwana wa Ishari,+ mwana wa Kohathi,+ mwana wa Lawi,+ akaondoka, pamoja na Dathani+ na Abiramu+ wana wa Eliabu,+ na Oni mwana wa Pelethi, wana wa Rubeni.+
10 Ndipo dunia ikafungua kinywa chake na kuwameza.+ Naye Kora, alikufa kwenye kifo cha kusanyiko wakati ambapo moto uliwateketeza watu 250.+ Nao wakaja kuwa mfano.+