Kutoka 33:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nenda, ondoka hapa, wewe na watu uliowaongoza kutoka nchi ya Misri,+ mpaka kwenye nchi ambayo nilimwapia Abrahamu, Isaka na Yakobo, na kusema, ‘Nitaupa uzao wako.’+ Zaburi 77:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Umewaongoza watu wako kama kundi,+Kwa mkono wa Musa na Haruni.+ Mika 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana niliwaleta ninyi kutoka nchi ya Misri,+ nami niliwakomboa kutoka nyumba ya watumwa;+ nami nikawatuma Musa, Haruni na Miriamu+ mbele yenu.
33 Na Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Nenda, ondoka hapa, wewe na watu uliowaongoza kutoka nchi ya Misri,+ mpaka kwenye nchi ambayo nilimwapia Abrahamu, Isaka na Yakobo, na kusema, ‘Nitaupa uzao wako.’+
4 Kwa maana niliwaleta ninyi kutoka nchi ya Misri,+ nami niliwakomboa kutoka nyumba ya watumwa;+ nami nikawatuma Musa, Haruni na Miriamu+ mbele yenu.