10Ndipo Yehova akamwambia Musa: “Ingia ndani kwa Farao, kwa sababu mimi—mimi nimeuacha moyo wake na mioyo ya watumishi wake iwe migumu,+ ili niweke ishara zangu hizi mbele yake,+
6 Pia, kwa nini mfanye mioyo yenu kuwa migumu kama vile Misri na Farao walivyofanya mioyo yao kuwa migumu?+ Je, haikuwa ni mara tu Yeye alipowatendea vikali+ ndipo walipowaachilia waende zao, nao wakaenda zao?+