Kutoka 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na baadaye Musa na Haruni wakaingia ndani na kumwambia Farao:+ “Hivi ndivyo Yehova Mungu wa Israeli amesema, ‘Waruhusu watu wangu waende zao, wakanifanyie sherehe nyikani.’”+ Kutoka 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Ingia kwa Farao, nawe umwambie, ‘Hivi ndivyo Yehova amesema: “Waruhusu watu wangu waende zao ili wanitumikie.+
5 Na baadaye Musa na Haruni wakaingia ndani na kumwambia Farao:+ “Hivi ndivyo Yehova Mungu wa Israeli amesema, ‘Waruhusu watu wangu waende zao, wakanifanyie sherehe nyikani.’”+
8 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Ingia kwa Farao, nawe umwambie, ‘Hivi ndivyo Yehova amesema: “Waruhusu watu wangu waende zao ili wanitumikie.+