Methali 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kosa hufanyiwa upatanisho kwa fadhili zenye upendo na ukweli,+ na mtu huepuka uovu kwa kumwogopa Yehova.+ Isaya 26:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata mwovu akionyeshwa kibali, yeye hatajifunza uadilifu.+ Atatenda isivyo haki katika nchi ya unyoofu,+ naye hatauona ukuu wa Yehova.+ Luka 16:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Lakini akamwambia, ‘Ikiwa hawamsikilizi Musa+ na Manabii, wala hawatasadikishwa ikiwa mtu fulani atafufuliwa kutoka kwa wafu.’ ”
6 Kosa hufanyiwa upatanisho kwa fadhili zenye upendo na ukweli,+ na mtu huepuka uovu kwa kumwogopa Yehova.+
10 Hata mwovu akionyeshwa kibali, yeye hatajifunza uadilifu.+ Atatenda isivyo haki katika nchi ya unyoofu,+ naye hatauona ukuu wa Yehova.+
31 Lakini akamwambia, ‘Ikiwa hawamsikilizi Musa+ na Manabii, wala hawatasadikishwa ikiwa mtu fulani atafufuliwa kutoka kwa wafu.’ ”