Zaburi 78:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Naye akaanza kuwapa mende mazao yao,Na kazi yao ngumu akawapa nzige.+ Zaburi 105:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Akasema nzige waingie,+Na nzige wachanga, wasio na hesabu.+ Methali 30:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 nzige+ hawana mfalme, hata hivyo wao huenda mbele wote wakiwa wamegawanywa vikundi-vikundi;+ Yoeli 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kilichoachwa na kiwavi, nzige amekula;+ kilichoachwa na nzige, nzige mchanga amekula; kilichoachwa na nzige mchanga, mende amekula.+
4 Kilichoachwa na kiwavi, nzige amekula;+ kilichoachwa na nzige, nzige mchanga amekula; kilichoachwa na nzige mchanga, mende amekula.+