Kutoka 9:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Lakini ngano na kusemethi+ hazikuwa zimepigwa, kwa sababu majira yake yalikuwa hayajafika. Zaburi 105:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nao wakala mimea yote katika nchi yao;+Pia wakala mazao ya udongo wao. Yoeli 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mbele yake moto umeteketeza,+ na nyuma yake mwali wa moto huteketeza.+ Mbele yake nchi ni kama bustani ya Edeni;+ lakini nyuma yake ni nyika iliyo ukiwa, wala hakuna chochote kinachoponyoka.
3 Mbele yake moto umeteketeza,+ na nyuma yake mwali wa moto huteketeza.+ Mbele yake nchi ni kama bustani ya Edeni;+ lakini nyuma yake ni nyika iliyo ukiwa, wala hakuna chochote kinachoponyoka.