7 Ondoleeni mbali chachu ya zamani, ili muwe donge jipya,+ kulingana na mlivyo bila chachu. Kwa maana, kwa kweli, Kristo+ pasaka+ yetu ametolewa dhabihu.+
7 Kwa njia yake tuna kuachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu+ ya huyo, ndiyo, msamaha+ wa makosa yetu, kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa.+