Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 utafanya utumishi nawe uifanye kazi yako yote kwa siku sita.+

  • Kutoka 31:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Wewe nawe, nena na wana wa Israeli, na kusema, ‘Hasa sabato zangu, mtazishika,+ kwa maana ni ishara kati yangu na ninyi katika vizazi vyenu ili mpate kujua kwamba mimi Yehova ninawatakasa ninyi.+

  • Kumbukumbu la Torati 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nawe ukumbuke kwamba ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri+ na Yehova Mungu wako akakutoa huko kwa mkono wenye nguvu na kwa mkono ulionyooshwa.+ Ndiyo sababu Yehova Mungu wako alikuamuru uendelee kuishika siku ya sabato.+

  • Yeremia 17:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nanyi msitoe mzigo wowote katika nyumba zenu siku ya sabato; wala msifanye kazi yoyote.+ Nanyi mwitakase siku ya sabato, kama nilivyowaamuru mababu zenu;+

  • Mathayo 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yote hayo yakifikiriwa, mwanadamu ni mwenye thamani kama nini kuliko kondoo!+ Kwa hiyo ni halali kufanya jambo zuri siku ya sabato.”

  • Luka 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Hata hivyo, Bwana akamjibu na kusema: “Wanafiki,+ je, kila mmoja wenu siku ya sabato hafungui ng’ombe wake au punda wake kutoka kwenye kibanda na kumpeleka akamnyweshe?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki