Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini siku ya saba ni sabato kwa Yehova Mungu wako.+ Usifanye kazi yoyote, wewe wala mwana wako wala binti yako, mtumwa wako wala kijakazi wako wala mnyama wako wa kufugwa wala mgeni wako aliye ndani ya malango yako.+

  • Kutoka 23:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Siku sita utafanya kazi yako;+ lakini siku ya saba utaacha, ili ng’ombe-dume wako na punda wako wapate kupumzika na mwana wa kijakazi wako na mkaaji mgeni wapate kujiburudisha.+

  • Mambo ya Walawi 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Siku sita kazi inaweza kufanywa, lakini katika siku ya saba ni sabato ya pumziko kamili,+ mkusanyiko mtakatifu. Hamtafanya kazi ya aina yoyote. Ni sabato kwa Yehova katika makao yenu yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki