18 Basi Musa akarudi kwa Yethro baba-mkwe wake na kumwambia:+ “Nataka kwenda, tafadhali, nirudi kwa ndugu zangu walio Misri ili nione kama wangali hai.”+ Kwa hiyo Yethro akamwambia Musa: “Nenda kwa amani.”+
29 Ndipo Musa akamwambia Hobabu mwana wa Reueli+ Mmidiani, baba-mkwe wa Musa: “Tunaondoka kwenda mahali ambapo Yehova alisema, ‘Nitawapa ninyi.’+ Nenda pamoja nasi, nasi hakika tutakutendea mema,+ kwa sababu Yehova amesema mema juu ya Israeli.”+