4 Lakini yule kuhani akamjibu Daudi na kusema: “Hakuna mkate wa kawaida mkononi mwangu, lakini kuna mkate mtakatifu;+ ikiwa tu hao vijana wamejiepusha na wanawake.”+
5 Msiwe mkinyimana haki hiyo,+ ila kwa makubaliano kwa wakati uliowekwa,+ ili mtenge wakati kwa ajili ya sala na mje pamoja tena, ili Shetani asiendelee kuwajaribu+ kwa sababu ya ninyi kukosa kujizuia.+