12 Hata hivyo, Musa akasema mbele za Yehova, na kumwambia: “Tazama! Wana wa Israeli hawakunisikiliza;+ Farao atawezaje kunisikiliza,+ kwa maana mimi sijatahiriwa midomo?”+
18 Kwa hiyo Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za Yehova na kusema: “Mimi ni nani,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova? Na nyumba yangu ni nini hata ukanileta kufikia hapa?