Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “‘Msiibe,+ wala msidanganye,+ wala msitendeane kwa uwongo mtu yeyote na mwenzake.+

  • Kumbukumbu la Torati 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “‘Wala usiibe.+

  • Marko 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wewe unazijua amri, ‘Usiue,+ Usifanye uzinzi,+ Usiibe,+ Usitoe ushahidi wa uwongo,+ Usipunje,+ Mheshimu baba yako na mama yako.’ ”+

  • 1 Wakorintho 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 wala wezi, wala watu wenye pupa,+ wala walevi,+ wala watukanaji, wala wanyang’anyi hawataurithi ufalme wa Mungu.+

  • Waefeso 4:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Mwizi asiibe tena,+ bali afanye kazi ya bidii, akifanya kwa mikono yake kazi iliyo njema,+ ili awe na kitu cha kumgawia mtu aliye na uhitaji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki