Mambo ya Walawi 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Msiibe,+ wala msidanganye,+ wala msitendeane kwa uwongo mtu yeyote na mwenzake.+ Kumbukumbu la Torati 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Wala usiibe.+ Marko 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wewe unazijua amri, ‘Usiue,+ Usifanye uzinzi,+ Usiibe,+ Usitoe ushahidi wa uwongo,+ Usipunje,+ Mheshimu baba yako na mama yako.’ ”+ 1 Wakorintho 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wala wezi, wala watu wenye pupa,+ wala walevi,+ wala watukanaji, wala wanyang’anyi hawataurithi ufalme wa Mungu.+ Waefeso 4:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mwizi asiibe tena,+ bali afanye kazi ya bidii, akifanya kwa mikono yake kazi iliyo njema,+ ili awe na kitu cha kumgawia mtu aliye na uhitaji.+
19 Wewe unazijua amri, ‘Usiue,+ Usifanye uzinzi,+ Usiibe,+ Usitoe ushahidi wa uwongo,+ Usipunje,+ Mheshimu baba yako na mama yako.’ ”+
10 wala wezi, wala watu wenye pupa,+ wala walevi,+ wala watukanaji, wala wanyang’anyi hawataurithi ufalme wa Mungu.+
28 Mwizi asiibe tena,+ bali afanye kazi ya bidii, akifanya kwa mikono yake kazi iliyo njema,+ ili awe na kitu cha kumgawia mtu aliye na uhitaji.+