8 Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako ile nchi ya makao yako ya kigeni,+ naam, nchi yote ya Kanaani, ili kuimiliki hata wakati usio na kipimo; nami nitajionyesha mwenyewe kuwa Mungu kwao.”+
22 na nchi iwe imetiishwa mbele za Yehova,+ kisha mrudi baadaye,+ ninyi pia mtajionyesha kuwa mko huru na hatia juu ya Yehova na juu ya Israeli; nayo nchi hii itakuwa miliki yenu mbele za Yehova.+
10 “Na itatukia kwamba Yehova Mungu wako atakapokuleta katika nchi ambayo aliwaapia mababu zako Abrahamu, Isaka na Yakobo, kwamba atakupa,+ majiji makubwa na yenye kupendeza ambayo wewe hukuyajenga,+