-
Mambo ya Walawi 15:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Na ikiwa mtu mwenye mtiririko unaotoka atamtemea mate mtu aliye safi, ndipo atayafua mavazi yake na kuoga katika maji na kuwa asiye safi mpaka jioni.
-
-
Hesabu 19:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Naye kuhani atayafua mavazi yake na kuoga mwili wake katika maji, na baadaye anaweza kuingia kambini; lakini yule kuhani atakuwa si safi mpaka jioni.
-