Hesabu 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akasema: “Sikieni maneno yangu, tafadhali. Kungalikuwa na nabii kati yenu kwa ajili ya Yehova, ningalijijulisha kwake katika maono.+ Ningalisema naye katika ndoto.+ Hesabu 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye akajibu na kusema: “Je, lolote ambalo Yehova ametia katika kinywa changu silo ninalopaswa kuwa mwangalifu kulisema?”+
6 Naye akasema: “Sikieni maneno yangu, tafadhali. Kungalikuwa na nabii kati yenu kwa ajili ya Yehova, ningalijijulisha kwake katika maono.+ Ningalisema naye katika ndoto.+
12 Naye akajibu na kusema: “Je, lolote ambalo Yehova ametia katika kinywa changu silo ninalopaswa kuwa mwangalifu kulisema?”+