Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na Elisha akaanza kusali+ na kusema: “Ee Yehova, tafadhali fungua macho yake,+ ili aone.” Mara moja Yehova akafungua macho ya yule mtumishi, hivi kwamba akaona; na, tazama! lile eneo lenye milima lilikuwa limejaa farasi na magari ya vita+ ya moto kumzunguka Elisha pande zote.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Daudi alipoinua macho yake, akamwona malaika+ wa Yehova amesimama kati ya dunia na mbingu, mkononi mwake akiwa na upanga uliochomolewa+ ukiwa umenyooshwa kuelekea Yerusalemu; na Daudi na wanaume wazee, wakiwa wamevaa nguo za magunia,+ wakaanguka kifudifudi mara moja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki