Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndiyo sababu mpaka leo hii Hebroni limekuwa urithi wa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi, kwa maana alimfuata Yehova Mungu wa Israeli kikamilifu.+

  • Isaya 26:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Wafu wako wataishi.+ Maiti wangu—wataamka.+ Amkeni, pigeni vigelegele kwa shangwe, enyi mnaokaa mavumbini!+ Kwa maana umande+ wako ni kama umande wa miholi,+ na dunia itawaacha hata wale wasiojiweza katika kifo waanguke katika kuzaliwa.+

  • 1 Wakorintho 15:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 “Kifo, uko wapi ushindi wako? Kifo, uko wapi mchomo wako?”+

  • Waebrania 11:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Wanawake waliwapokea wafu wao kwa ufufuo;+ lakini watu wengine waliteswa kwa sababu hawakukubali kuachiliwa huru kupitia fidia fulani, ili waupate ufufuo ulio bora.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki