Kutoka 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Eleazari, mwana wa Haruni,+ alijichukulia mmoja wa binti za Putieli awe mke wake. Baadaye akamzalia Finehasi.+ Hao ndio vichwa vya upande wa baba vya Walawi, kulingana na familia zao.+ Kumbukumbu la Torati 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Nao wana wa Israeli wakaondoka Beerothi Bene-yaakani+ wakielekea Mosera. Huko Haruni akafa, naye akazikwa huko;+ na Eleazari mwana wake akawa kuhani badala yake.+
25 Na Eleazari, mwana wa Haruni,+ alijichukulia mmoja wa binti za Putieli awe mke wake. Baadaye akamzalia Finehasi.+ Hao ndio vichwa vya upande wa baba vya Walawi, kulingana na familia zao.+
6 “Nao wana wa Israeli wakaondoka Beerothi Bene-yaakani+ wakielekea Mosera. Huko Haruni akafa, naye akazikwa huko;+ na Eleazari mwana wake akawa kuhani badala yake.+